Posts

Showing posts from September, 2017

ZIJUE FAIDA ZA KUTUMIA TANGAWIZI

Tangawizi ni moja viungo vyenye faida kubwa katika miili yetu.Tangawizi ina virutubisho muhimu kwa ajili ya mwili na ubongo wa binadamu   ZIFUATAZO NI FAIDA ZA TANGAWIZI KI AFYA Tangawizi huweza kutibu aina mbalimbali za kichefuchefu ikiwa ni pamoja na kile kisababishwacho na ujauzito (Morning sickness ) Tangawizi huweza kuondoa maumivu ya misuli ikiwa ni pamoja na yale yasababishwayo na mazoezi Inaweza kuzuia madhara yatokanayo na mfumo wetu wa kujilinda ( Anti- infammatory effects) kama vile Osteo arthritis Tangawizi inaweza kushusha kiwango cha sukari iliyozidi mwilini  Tangawizi huweza kupunguza uwezekano wa kupata magonjwa ya moyo Tangawizi hutibu mfumo wa mmeng'enyo wa chakula unaposhindwa kufanya kazi vizuri Tangawizi hupunguza kwa kiasi kikubwa maumivu yasababishwayo na hedhi (Dysmenorrhea) Tangawizi hupunguza uwezekano wa kupata cancer Tangawizi huimarisha uwezo wa ubongo kufanya kazi Tangawizi hupunguza cholesterol mwilini Tangawizi pia huimarisha mfumo...