ARTESUNATE TIBA SAHIHI KWA MALARIA KALI
MALARIA NI NINI? Malaria ni ugonjwa unaosababishwa unaosababishwa na vimelea viitwavyo plasmodia. Ugonjwa huu husambazwa na mbu NINI DAWA YA MALARIA ISIYO KALI Malaria isiyo kali hutibiwa kwa dawa mseto maarufu kama Artemether lumefantrine (ALU) ZIPI NI DALILI ZA MALARTIA KALI? Kulegea kupita kiasi Mabadiliko ya tabia kama vile maluweluwe, kuhisi au kuona vitu visivyo kuwepo Kupumkua kwa shida Manjano Kutapika kila kitu Kushindwa kula au kunyonya Damu kushindwa kuzunguka mwilini Kutokwa damu kirahisi na mara kwa mara NINI TIBA SAHIHI YA MALARIA KALI Dawa ya sindano iitwayo Artesunate ndio dawa chaguo la kwanza katika kutibu malaria Dawa hii huweza kutolewa kwa njia ya mshipa au msuli kwa kipindi kisichopungua masaa 24 Baada ya hapo matgibabu hukamilishwa kwa kumpatia mgonjwa dozi kamili ya ALU HAISHAURIWI kutumia artesunate kwa wajawazito wenye mimba iliyo na umri chini ya miezi mitatu DAWA YA KWININI ITUMIKE KWA WAJAWAZITO WENYE MIMBA YENYE UMRI CHINI YA WI...